FREE blogger event- sign up here- Futon Giveaway

2

 

Free blogger event.

AFA Mali Futon Giveaway – Win an AFA Mali Futon with AtoZStores!

 

You will receive one Facebook fan page link at no cost as a thank you for participating in this event

Prize: AFA Mali Futon – 2 winners a $419 value

The event dates: 9/24 – 10/8 Prize open to – Continental US only

Blogger with the most refers will get a $100 AtoZ Stores Gift Card!! So make sure you let them know that Pam from Mom Does Reviews sent you!

http://www.atozstores.com/afa-futon-giveaway

Sign up here!

About Author

LaDonna Dennis

LaDonna Dennis is the founder and creator of Mom Blog Society. She wears many hats. She is a Homemaker*Blogger*Crafter*Reader*Pinner*Friend*Animal Lover* Former writer of Frost Illustrated and, Cancer...SURVIVOR! LaDonna is happily married to the love of her life, the mother of 3 grown children and "Grams" to 3 grandchildren. She adores animals and has four furbabies: Makia ( a German Shepherd, whose mission in life is to be her attached to her hip) and Hachie, (an OCD Alaskan Malamute, and Akia (An Alaskan Malamute) who is just sweet as can be. And Sassy, a four-month-old German Shepherd who has quickly stolen her heart and become the most precious fur baby of all times. Aside from the humans in her life, LaDonna's fur babies are her world.

0 0 votes
Article Rating
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
tuwe makini na dunia
11 years ago

nawale ambao wana sikiliza maneno mengi yanayo semwa wakafuata yale yaliyo mazuri hao ndio wenye akili

kuanza mapenzi na utoto

SWALI: Jee kama kuna boyfriend na girlfriend
wamekuwa
wakipendana na wao ni waislam, ikafika wakati
wakajikuta na kuelewa kuwa wanavyofanya ni dhambi kubwa na wakaamua kutubia kwa Mola wao, lakini kwa kuwa hawana uhasama
na wamekuwa wakipendana
wameamua kuoana kwa ajili ya Allah, tokea kutubia kwao sasa inakaribia ni miaka miwili hawajakutana kimwili na wamekuwa
wakifahamishana
sana mawaidha mema na kumuomba Mola wao awasamehe
madhambi yao na awaweke pamoja katika ndoa. Kama wanaamua
kuoana jee ndoa yao itasihi? JIBU: Bila shaka kitendo cha Zinaa ni katika dhambi mojawapo
kubwa kabisa, lakini kwa Rahma
ya Allaah ﻪﻧﺎﺤﺒﺳ ﻰﻟﺎﻌﺗﻭ ambayo inaenea kwa kila kitu,
Humghufuria
yule anayerejea Kwake, na kama unavyosema
kuwa mlifanya uasi huo kisha mkaamua
kutubu na kurudi
kwa Mola wenu basi Allaah ﻪﻧﺎﺤﺒﺳ ﻰﻟﺎﻌﺗﻭ Ametubashiria
kuwa Yeye hupokea Tawbah
ya waja wake kama Anavyosema; ِﻪّﻠﻟﺍ ﻰَﻠَﻋ ُﺔَﺑْﻮَّﺘﻟﺍ ﺎَﻤَّﻧِﺇ}} َﻦﻳِﺬَّﻠِﻟ َﺀَﻮُّﺴﻟﺍ َﻥﻮُﻠَﻤْﻌَﻳ ٍﺔَﻟﺎَﻬَﺠِﺑ َّﻢُﺛ َﻥﻮُﺑﻮُﺘَﻳ ﻦِﻣ ٍﺐﻳِﺮَﻗ َﻚِﺌَﻟْﻭُﺄَﻓ ُﺏﻮُﺘَﻳ ُﻪّﻠﻟﺍ ْﻢِﻬْﻴَﻠَﻋ َﻥﺎَﻛَﻭ ُﻪّﻠﻟﺍ ًﺎﻤﻴِﻠَﻋ {{ًﺎﻤﻴِﻜَﺣ {{Hakika toba inayo kubaliwa na Mwenyezi Mungu ni ya wale wafanyao uovu kwa ujinga, kisha wakatubia kwa haraka. Hao ndio Mwenyezi Mungu huwakubalia
toba yao, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na ni Mwenye hikima}} An-Nisaa: 17 Kwa hivyo Tawbah yenu iwe Tawbatan- Nasuuha
(Tawbah ya kweli) ambayo ina shuruti zake nazo ni: 1. Kuomba Tawbah 2. Kuacha hicho
kitendo
kiovu 3. Kujuta 4. Kuazimia (Kuweka nia) kutorudia
tena Na Allaah ﻪﻧﺎﺤﺒﺳ ﻰﻟﺎﻌﺗﻭ Ametukataza
tusikate tamaa na Rahma Yake kwani
Humghufuria mja
wake madhambi yote kama alivyosema
katika Surat Az- Zumar: ْﻞُﻗ}} ﺎَﻳ َﻱِﺩﺎَﺒِﻋ َﻦﻳِﺬَّﻟﺍ ْﻢِﻬِﺴُﻔﻧَﺃ ﻰَﻠَﻋ ﺍﻮُﻓَﺮْﺳَﺃ ﺎَﻟ ﺍﻮُﻄَﻨْﻘَﺗ ﻦِﻣ ِﺔَﻤْﺣَّﺭ ِﻪَّﻠﻟﺍ َّﻥِﺇ َﻪَّﻠﻟﺍ ُﺮِﻔْﻐَﻳ َﺏﻮُﻧُّﺬﻟﺍ ﺎًﻌﻴِﻤَﺟ ُﻪَّﻧِﺇ {{ُﻢﻴِﺣَّﺮﻟﺍ ُﺭﻮُﻔَﻐْﻟﺍ َﻮُﻫ {{Sema: Enyi waja wangu walio jidhulumu nafsi zao! Msikate tamaa na rehema ya Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu husamehe
dhambi zote. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe,
Mwenye
kurehemu}} Az- Zumar: 53 Vile vile Ametuambia
katika aya nyingi kabisa katika Qur-aan, na pia tunaona katika Hadithi mbalimbali kuwa Yeye yuko tayari kupokea Tawbah
zetu kwani Yeye ni Mwingi wa Kusamehe na Mwingi wa Rahma. ْﻢَﻟَﺃ}} ْﺍﻮُﻤَﻠْﻌَﻳ َّﻥَﺃ َﻪّﻠﻟﺍ َﻮُﻫ ُﻞَﺒْﻘَﻳ َﺔَﺑْﻮَّﺘﻟﺍ ْﻦَﻋ ِﻩِﺩﺎَﺒِﻋ ُﺬُﺧْﺄَﻳَﻭ ِﺕﺎَﻗَﺪَّﺼﻟﺍ َّﻥَﺃَﻭ َﻪّﻠﻟﺍ {{ُﻢﻴِﺣَّﺮﻟﺍ ُﺏﺍَّﻮَّﺘﻟﺍ َﻮُﻫ {{Je! Hawajui ya kwamba
Mwenyezi Mungu anapokea toba ya waja wake, na anazikubali
sadaka, na kwamba
Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba na Mwenye
kurehemu }} At- Tawbah: 104 Tafadhali pitia ‘Nasiha Za Ijumaa’ zilizomo katika tovuti hii zinazozungumzia
kuhusu Tawbah upate faida mbalimbali katika maudhui hii na pia ujue Rahma tuliyojaaliwa sisi Waislamu. Ama maendeleo ya mahusiano yenu
hayatokuwa ni sawa baada kuwa mlishazini kabla, kwani kuzidi
kuwasiliana
huenda
kukakupelekeeni
karibu kabisa na maovu. Allaah ﻪﻧﺎﺤﺒﺳ ﻰﻟﺎﻌﺗﻭ Anasema: َﻻَﻭ}} ْﺍﻮُﺑَﺮْﻘَﺗ ﻰَﻧِّﺰﻟﺍ ُﻪَّﻧِﺇ َﻥﺎَﻛ ًﺔَﺸِﺣﺎَﻓ{{ًﻼﻴِﺒَﺳ ﺀﺎَﺳَﻭ {{Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya}} Israa: 32. Na Uislamu umefanya ndoa kuwa ni nyepesi na ikafunga milango yote ya kuiendea zina. Kwa hiyo inakupaseni
mfanye haraka kufunga ndoa kwa kufuata shuruti zake, ili mjiepushe na hatari ya kuanguka tena katika hicho kitendo kiovu. Wa Allaahu A’alam